1 Chronicles 20:4

4 aBaada ya muda, kulitokea vita dhidi ya Wafilisti, huko Gezeri. Wakati huo Sibekai, Mhushathi, akamuua Sipai, aliyekuwa mmoja wa wazao wa Warefai,
Yaani majitu.
nao Wafilisti wakashindwa.

Copyright information for SwhKC